swahili poetry
Thursday, 8 January 2015
Monday, 8 December 2014
TABASAMU
Sikiza yote sikiza,lakini bagua mbaya
kilichoo nzuri tuza,huku ukifurahiya
wabaya nao fukuza,upeo hiyo... fikiya
mwishowe we!tabasamu,maono kitimiia
Tulia aah! tulia,wewe unda mikakati
tafuta njia fikia,vile hakuna wakati
usije ukajutia,nawe huyo pite kati
mwishowe we! tabasamu,maono kitimiia
Chakura wewe chakura,hadi yotee upate
maadui baki fura,mwagike chozi na mate
hata kama ni kwa kura, endaa wasikupate
mwishowe we!tabasamu,maono kitimiia
Pambana eeh! pambana,hadi jasho imwagike
ja kuku tafuta dona,mpaka ukingo ufike
na ile mbayaa kana,hadi mbarika pasuke
mwishowe we!tabasamu,maono kitimiia
Kimbia mkiki kimbia,wote uwaache nyuma
sala Mola husikia,afurahiie mama
majaliwa kitimia,ushindwe kamwe kupima
mwishowe we! tabasamu,maono kitimiia
kilichoo nzuri tuza,huku ukifurahiya
wabaya nao fukuza,upeo hiyo... fikiya
mwishowe we!tabasamu,maono kitimiia
Tulia aah! tulia,wewe unda mikakati
tafuta njia fikia,vile hakuna wakati
usije ukajutia,nawe huyo pite kati
mwishowe we! tabasamu,maono kitimiia
Chakura wewe chakura,hadi yotee upate
maadui baki fura,mwagike chozi na mate
hata kama ni kwa kura, endaa wasikupate
mwishowe we!tabasamu,maono kitimiia
Pambana eeh! pambana,hadi jasho imwagike
ja kuku tafuta dona,mpaka ukingo ufike
na ile mbayaa kana,hadi mbarika pasuke
mwishowe we!tabasamu,maono kitimiia
Kimbia mkiki kimbia,wote uwaache nyuma
sala Mola husikia,afurahiie mama
majaliwa kitimia,ushindwe kamwe kupima
mwishowe we! tabasamu,maono kitimiia
Sunday, 7 December 2014
SAMAKI
Maisha iliyo raha,yaliyoko nyumbani
huzifanya tabia silaha,kwako na duniani
tamati yake karaha,kufaidikako kaburini
samaki mkunje,angali mbichi
Adhabu isiyo rungu,hadhiraye kizimbani
salazo ni kwake mungu,jaji askutie ndani
simanzi lililo wingu,hukukithiri usoni
samaki mkunje,angali mbichi
Miaka zipunguwapo,na mvi kuja kichwani
maisha ngumu chaguwapo,majonzi tele usoni
ungalifu usemapo,tamatiyo maishani
samaki mkunje,angali mbichi
Bei haina wema,haifunzwi shuleni
haipewi naye mama,siri imo akilini
huanzia kwa heshima,isiyo na kifani
samaki mkunje,angali mbichi
huzifanya tabia silaha,kwako na duniani
tamati yake karaha,kufaidikako kaburini
samaki mkunje,angali mbichi
Adhabu isiyo rungu,hadhiraye kizimbani
salazo ni kwake mungu,jaji askutie ndani
simanzi lililo wingu,hukukithiri usoni
samaki mkunje,angali mbichi
Miaka zipunguwapo,na mvi kuja kichwani
maisha ngumu chaguwapo,majonzi tele usoni
ungalifu usemapo,tamatiyo maishani
samaki mkunje,angali mbichi
Bei haina wema,haifunzwi shuleni
haipewi naye mama,siri imo akilini
huanzia kwa heshima,isiyo na kifani
samaki mkunje,angali mbichi
DUNIA
Kamwe daima dawamu,mambo nimeyaona
nashindwa taisha zamu,angalau kuwe kona
juu naogopa damu,natumai nitapona
nimekubali mie,ina mambo dunia
Inazungumziwa ebola,nayo kote inauwa
wengi waja wanalala,utafikiri kalewa
maadamu tuko jela,lini tutafunguliwa
nimekubali mie,ina mambo dunia
ukimwi sijagusia,watu pia wanaugua
insi kote twaumia,mwishowe shindwa pumua
kaski ikitimia,mola milango fungua
nimekubali mie,ina mambo dunia
vita kote twapigana,kamwe hakuna huruma
amani sisi twanena,huku tumebeba chuma
lini waja watapona,tuwache kupanga njama
nimekubali mie,ina mambo dunia
nashindwa taisha zamu,angalau kuwe kona
juu naogopa damu,natumai nitapona
nimekubali mie,ina mambo dunia
Inazungumziwa ebola,nayo kote inauwa
wengi waja wanalala,utafikiri kalewa
maadamu tuko jela,lini tutafunguliwa
nimekubali mie,ina mambo dunia
ukimwi sijagusia,watu pia wanaugua
insi kote twaumia,mwishowe shindwa pumua
kaski ikitimia,mola milango fungua
nimekubali mie,ina mambo dunia
vita kote twapigana,kamwe hakuna huruma
amani sisi twanena,huku tumebeba chuma
lini waja watapona,tuwache kupanga njama
nimekubali mie,ina mambo dunia
Saturday, 6 December 2014
KUMBUKUMBU
Nakumbuka yote mimi,nilivyokupa mapenzi
kafunga kabisa ndimi,ukanisukuma ja nzi
roho kaipiga ngumi,lo!kumbe mi mwanafunzi
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
Mimi yote nilikupa,kanitesa niumie
we!uliona mifupa,nikose maana mie
usikose nilikopa,ninunue uvalie
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
Mwanzoni kanisikiza,ulinipa yako busu
wewe ukanipumbaza,nikawa wako mabusu
kumbe nilikuchukiza,kanitafutia kisu
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
Mtima umeidunga,jeraha mi nauguza
navuja nimeifunga,mimi naona tu giza
mzito roho ja mzinga,dunia umenifunza
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
Nani mimi nimpende,katafuta ngo! sioni
kazunguka kama mende,nachungulia vioni
tapata mi peremende?,angalau nimweke makaoni?
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
kafunga kabisa ndimi,ukanisukuma ja nzi
roho kaipiga ngumi,lo!kumbe mi mwanafunzi
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
Mimi yote nilikupa,kanitesa niumie
we!uliona mifupa,nikose maana mie
usikose nilikopa,ninunue uvalie
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
Mwanzoni kanisikiza,ulinipa yako busu
wewe ukanipumbaza,nikawa wako mabusu
kumbe nilikuchukiza,kanitafutia kisu
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
Mtima umeidunga,jeraha mi nauguza
navuja nimeifunga,mimi naona tu giza
mzito roho ja mzinga,dunia umenifunza
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
Nani mimi nimpende,katafuta ngo! sioni
kazunguka kama mende,nachungulia vioni
tapata mi peremende?,angalau nimweke makaoni?
kumbukumbu aushini,zafanya tuwe makini
WANADAMU
Tawaona wanadamu,wengi kiasi cha haja
kila mmoja na zamu,watakupiga pambaja
uunapovuja damu,watachoka kukutaja
na tatusiwa kwa hamu,hadi uvukedaraja
wanadamu ni viumbe,ni viumbe vya ajabu
Tawaona kila siku,maonzi kwako wewe
takudurusu ja buku,hata kipaa ja mwewe
kote utasakwa huku,hawatakuacha uwe
utachinjwa kama kuku,na mwishowe uliwe
wanadamu ni viumbe,ni viumbe vya ajabu
Tawaona nakwambia,hata unaposinzia
waatakunyemelea,na kamwe kukuvamia
hawatakuhurumia,waatakuparamia
hadi unapoumia,zaidi utaumia
wanadamu ni viumbe,ni viumbe vya ajabu
Tawaona kwa mwangaza,gizani ndani wamo
atakayekudekeza,yuko ndani ya shimo
milele unachoweza,takupatia ya mdomo
kiasi tumbo kujaza,ja kiongozi jomo
wanadamu ni viumbe,niviumbe vya ajabu
Tawaona daiima,wasichoke kuzunguka
ndiposa mimi Ndiema,natulia kwa miaka
na kamwe kutenda mema,hadi nipite mipaka
hatua lazima,nimeona kitendeka
wanadamu ni viumbe,ni viumbe vya ajabu
kila mmoja na zamu,watakupiga pambaja
uunapovuja damu,watachoka kukutaja
na tatusiwa kwa hamu,hadi uvukedaraja
wanadamu ni viumbe,ni viumbe vya ajabu
Tawaona kila siku,maonzi kwako wewe
takudurusu ja buku,hata kipaa ja mwewe
kote utasakwa huku,hawatakuacha uwe
utachinjwa kama kuku,na mwishowe uliwe
wanadamu ni viumbe,ni viumbe vya ajabu
Tawaona nakwambia,hata unaposinzia
waatakunyemelea,na kamwe kukuvamia
hawatakuhurumia,waatakuparamia
hadi unapoumia,zaidi utaumia
wanadamu ni viumbe,ni viumbe vya ajabu
Tawaona kwa mwangaza,gizani ndani wamo
atakayekudekeza,yuko ndani ya shimo
milele unachoweza,takupatia ya mdomo
kiasi tumbo kujaza,ja kiongozi jomo
wanadamu ni viumbe,niviumbe vya ajabu
Tawaona daiima,wasichoke kuzunguka
ndiposa mimi Ndiema,natulia kwa miaka
na kamwe kutenda mema,hadi nipite mipaka
hatua lazima,nimeona kitendeka
wanadamu ni viumbe,ni viumbe vya ajabu
MVUA
Raha mie naona,tangu wewe nikuone
yote kabisa navuna,menidekeza ninone
tuvuke njia pana,kila mwia nikuone
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Kama penzi kikohozi,kwangu wewe dawa
meipata kwako dozi,kaponaa niko sawa
meifanya iwe kozi,kazi mekuwa kipawa
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Nishike mkono milele,kamwe niwe nawe
hata kuwe na kelele,kipusa yote upewe
tugange sote ya mbele,siku za usoni tuwe
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Wacha mi nikupapase,kidosho nikudekeze
wengine wasikuguse,mpira wetu tuucheze
upweke usitutese,raha sisi itujaze
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Malkia mependeka,wacha nikuchumbie
wakati wako mefika,mahaba nikupatie
sasa moto umewaka ,maji isiufikie
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
yote kabisa navuna,menidekeza ninone
tuvuke njia pana,kila mwia nikuone
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Kama penzi kikohozi,kwangu wewe dawa
meipata kwako dozi,kaponaa niko sawa
meifanya iwe kozi,kazi mekuwa kipawa
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Nishike mkono milele,kamwe niwe nawe
hata kuwe na kelele,kipusa yote upewe
tugange sote ya mbele,siku za usoni tuwe
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Wacha mi nikupapase,kidosho nikudekeze
wengine wasikuguse,mpira wetu tuucheze
upweke usitutese,raha sisi itujaze
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Malkia mependeka,wacha nikuchumbie
wakati wako mefika,mahaba nikupatie
sasa moto umewaka ,maji isiufikie
kama kote inanyea,mapenzi itufurike
Subscribe to:
Posts (Atom)